Matukio mbalimbali katika picha kuhusiana na Kikao cha Ishirini na nane (28) cha Kamati ya Utendaji ya Baraza kuu la Wafanyakazi la TPA, kinachofanyika katika Chuo cha Afya mjini Bagamoyo. Kikao hicho kimefunguliwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania, Eng. Deusdedit Kakoko.