KIKAO CHA 59 CHA BARAZA DOGO LA MAJADILIANO (JIC)

Baraza Dogo la Majadiliano (JIC) la Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) tarehe 2 na 3 Oktoba 2025, limefanya kikao cha Hamsini na tisa (59) kilichofanyika mjini Bagamoyo Mkoa wa Pwani.
Kikao hicho cha Baraza kimeongozwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu Mha. Dkt. Baraka R. Mdima.