TPA KIVUTIO MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA DODOMA
20 August 2026
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeendelea kuwa kivutio kikubwa katika Maonesho ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea jijini Dodoma, ambapo wananchi, wadau mbalimbali na washiriki wamaonesho hayo wamekuwa wakitembelea banda...
Tell Me More