Sélectionnez votre langue

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania ( TPA) Bw. Plasduce Mkeli Mbossa akifuatilia uwasilishwaji wa hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2026/2027, tarehe 13 Mei, 2026, Bungeni Mjini Dodoma