Bandari Ziwa Victoria

Ziwa Victoria lina bandari nyingi lakini zilizo kubwa ni Mwanza Kusini na Mwanza Kaskazini ambazo zinaungwa na barabara na reli nchini na nchi jirani. Bandari hizi zina miundombinu ya kutosha, kuwezesha huduma za bandari ikiwamo mizani ya magari, matangi ya mafuta, karakana na jengo la abiria.Mbali na bandari hizi mbili Ziwa Victoria lina bandari nyingi zinazofanyakazi ya kutoa huduma kwa umma.

Sifa za Bandari

  • Bandari hizi ambazo zipo mkoani Mwanza zimeunganishwa kwa barabara na reli nchini na nchi za jirani.

Miundombinu ya bandari

Gati

Bandari zina gati la shehena ya kawaida la meta 280 na Bomba la Mafuta ambalo lipo Mwanza Kusini. Gati namba moja lina meta 82.5 ( kituo cha shehena) Gati 2– meta 60 ni kituo cha abiria wakati Gati 3 – meta 60 (jengo la abiria) na gati la meta 10 kwa kituo cha abiria Mwanza Kaskazini.

Vifaa

  • Winchi kubwa ya Bandini
  • Foko
  • Winchi itembeayo
  • Kizoa taka chini ya maji (Water Master)
  • Boti ya kuvutia / kuongozea meli Baharini
  • Gati linaloelea

Uhifadhi

Kuna mabanda matatu yaliyopo Mwanza Kusini

Bandari ziwa victoria

BANDARI YA MWANZA SOUTH

Maelezo ya ziada
Miundombinu Mizani Linkspan Karakana ya mitambo Gati Vifaa Winchi kubwa ya bandarini Foko Winchi inayiotembea Mtambo wa kutolea tope Tishari Hifadhi Kuna maghala matatu (3) ambayo yapo Bandari ya Mwanza Kusini
Tabia
  • Ipo mkoani Mwanza na maalumu kwa mizigo na mafuta na inaunganishwa nan chi jirani kwa barabara na reli.
Miundombinu
  • Mizani
  • Linkspan
  • Karakana ya mitambo
Gati
Vifaa
  • Winchi kubwa ya bandarini
  • Foko
  • Winchi inayiotembea
  • Mtambo wa kutolea tope
  • Tishari
Hifadhi
  • Kuna maghala matatu (3) ambayo yapo Bandari ya Mwanza Kusini

BANDARI YA MWANZA NORTH

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani mwanza Maalumu kwa mizigo na abiria na inaunganishwa na barabara na treni kwa Tanzania na nchi jirani
Miundombinu
  • Mizani
  • Jengo la abiria
  • Matangi ya mafuta
Gati
  • Gati la kwanza- Meta 82.5 kwa ajili ya mizigo
  • Gati la pili Meta 60 kwa ajili ya abiria
  • Gati la tatu 3 Meta 60 kwa ajil
Vifaa
  • Jenereta

BANDARI YA KEMONDO

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Kagera
  • Iko mahususi kwa ajili ya mizigo ya kawaida na abiria na imeungwa na mikoa nan chi jirani kwa barabara.
Miundombinu
  • Jengo la abiria
  • Linkspan
  • Maghala matano ya muda
  • Maghala ya kuhifadhia bidhaa
Gati
  • Gati la meta 22 kwa ajili ya mafuta
  • Gati la 1 – meta 70
  • Gati la 2 – meta 22
  • Gati la 3 – meta 37

BANDARI YA BUKOBA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Kegera na mahususi kwa mizigo na abiria
  • Imeungwa kwa barabara na maeneo nchini na nchi jirani
Vifaa
  • Tela za mizigo
  • Trekta/li>
Gati
  • Gati la 1 Meta 82.5
  • Gati la 2 Meta 60
  • Gati la 3 Meta 60

BANDARI YA MUSOMA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Mara na mahusisi kwa mizigo na abiria na imeunganishwa nchini nan chi jirani kwa barabarali>
Miundombinu
  • Jengo la abiria
  • Ghala
Quay Wall
  • Gati la 1 – meta 100
  • Gati la 2 – meta 60

BANDARI YA NANSIO

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Mara na ni mahususi kwa abiria na mizigo ikiwa imeunganishwa nchini nan chi jirani kwa barabara
Miundombinu
  • Jengo la abiria
  • Ghala
Gati

BANDARI YA MWIGOBERO

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Mara na iko mahsusi kwa mizigo na abiria ikiwa imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa barabara.
Gati
  • Gati kwa ajili ya mizigo ina meta 203

BANDARI YA SHIRATI

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Mara na ni mahsusi kwa shughuli za abiria na mizigo na imeunganishwa kwa njia ya maji nchini na nchi jirani.

BANDARI YA KINESI

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Mara ni kwa ajili ya abiria na mizigo,imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji .

BANDARI YA MAISOME

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Mara na ni mahususi kwa abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji .

BANDARI YA KOME

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Sengerema mkoani Mwanza na inatumika kwa ajili ya abiria na mizigo na inaunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA BUKONDO

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Sengerema mkoani Mwanza ikijihusisha na mizigo na abiria na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA KAHUNDA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Geita ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA CHATO

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Geita ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA NYAMIREMBE

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Geita ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA NKOMBE

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Geita ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA MUHARAMBA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo mkoani Geita ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA BUCHOSA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • LIpo Sengerema Mkoani Mwanza ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA SOLIMA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Busega Mkoani Simiyu ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA UKARA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Ukerewe, Mkoani Mwanza ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA NYAKALILO

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Sengerema Mkoani Mwanza ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA KYAMKWIKWI

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Muleba Mkoani Kagera ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA BUCHENZI

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Sengerema Mkoani Mwanza ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA KARUMO

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Sengerema Mkoani Mwanza ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA ITABAGUMBA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • LIpo Sengerema Mkoani Mwanza ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA LUSHAMBA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Sengerema Mkoani Mwanza ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA LUGATA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Sengerema Mkoani Mwanza ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA NUNGWE

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Mkoani Geita ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA KIBARA

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Bunda Mkoani Mara ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.

BANDARI YA MAGARINI

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Muleba Mkoani Kagera ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji..

BANDARI YA NYAMKAZI

Maelezo ya ziada
Tabia
  • Ipo Bukoba Mkoani Kagera ikihudumia abiria na mizigo na imeunganishwa nchini na nchi jirani kwa njia ya maji.
 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na:

Meneja wa Bandari Ziwa Victoria,
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA),
P. O. Box 3100,
Mwanza, Tanzania

Simu 1. +255 (28) 22541422
Simu 2. +255 (0) 787 250181
Faski. +255 (28) 22541422
Anwani ya barua pepe hii inalindwa kutokana na spambots. JavaScript lazima iwe itawezeshwa kwa kuweza kuona.