Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Bw. Plasduce Mbossa akijibu hoja mbalimbali toka Kamati ya Bunge ya Miundombinu mjini Dodoma

Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Juma Kijavara akifafanua jambo wakati akijibu hoja mbalimbali toka Kamati ya Bunge ya Miundombinu mjini Dodoma