MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AZINDUA BANDARI KAVU YA KWALA
01 August 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 31,2025, ameweka jiwe la msingi la uzinduzi wa Bandari Kavu ya Kwala iliyopo Vigwaza, Kibaha Mkoa wa Pwani.
Bandari hiyo ya kitaifa...
Tell Me More