Mheshimiwa Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdoe Mpango, Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mnyaa Mbarawa na ujumbe wake walisimama nchini DRC mji wa Lubumbashi, hivyo  taasisi za Tanzania,  wafanyabiashara na diaspora  waliopo Congo tulipata fursa ya kumsalimia tukiongozwa na Ubalozi mdogo Lubumbashi

Tuwasiliane

Kwa maswali yoyote au msaada, wasiliana nasi muda wote (24/7)
0800-110032
S. L. P 9184 Dar es salaam
dg@ports.go.tz
255 22 2130390

Habari na Matukio DRC

UGENI WA MHE. MAKAMU WA RAISI NA WAZIRI WA UCHUKUZI LUBUMBASHI

03 Februari 2025

Mheshimiwa Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdoe Mpango, Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mnyaa Mbarawa na ujumbe wake walisimama nchini DRC mji wa Lubumbashi, hivyo  taasisi za Tanzania,  wafanyabiashara na diaspora  waliopo Congo tulipata...
  Soma Zaidi