Bandari Ziwa Tanganyika
Bandari za Ziwa Tanganyika
Bandari za Ziwa Tanganyika zinapatikatika katika mikoa mitatu ya Kigoma, Katavi, na Rukwa. Bandari kuu za Ziwa Tanganyika ni bandari ya Kigoma, Kibirizi, Kipili, Kasanga, Kagunga, Kabwe na Kirando. Bandari ya Kigoma imeunganishwa kwa barabara na reli hapa nchini na kwa nchi jirani na ina vifaa vingi ikiwemo miizani, matangi ya mafuta, karakana na eneo la kupumzikia abiria.
Sifa Bainifu za Bandari
SIFA BAINIFU | KIGOMA | KIBIRIZI | UJIJI | KASANGA | KAREMA | KABWE | KIPILI | KAGUNGA |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Ukubwa (Mita za Mraba) | ||||||||
Kina (Mita) | 5 hadi 7 | 3 | 3 | 13 | 4.5 | 6.5 | 6 | 4 |
Uwezo (Tani Metriki) | ||||||||
NYENZO | ||||||||
GATI | ||||||||
Idadi ya Gati | 6 | 1 | 1 | 1 | 1 | 1 | 1 | 1 |
Urefu (Mita) | 310 | 257 | 18 | 120 | 150 | 124/32 | 22 | 50 |
Kina (Mita) | 5 hadi 7 | 3 | 3 | 13 | 4.5 | 6.5 | 6 | 4 |
HIFADHI | ||||||||
Ukubwa wa Eneo la Hifadhi (Mita za Mraba) | 750 | |||||||
Uwezo kwa mwaka (Tani za Metriki Milioni) | 500,000 | 250,000 | 52,000 | 230,000 | ||||
Eneo la Kuhifadhia Shehena (Magari) | ||||||||
Eneo la Kuhifadhia Nafaka (Tani) | ||||||||
Bandari Kavu ya Kuhifadhia Makasha (ICDs) TEUs | ||||||||
Mfumo wa kutia Nanga ufukweni (SPM) (Tani za Metriki) | ||||||||
Gati la Mafuta (Tani za Metriki) | 1 | |||||||
VIFAA (Idadi) | ||||||||
Winchi Inayotembea Katika Reli | 1 | |||||||
Mitambo ya kubeba makasha (aina ya Reach Stacker) | 1 | |||||||
Winchi Inayotembea (Mobile Groove) | 1 | |||||||
Foko | 11 | 2 | 2 | 1 | ||||
Winchi Kubwa za Bandarini (Portal Cranes) | 3 | |||||||
Matrekta ya Kuhamisha Mizigo Bandarini (TT) | 2 | |||||||
Tela za Bandarini | ||||||||
Winchi Nzito Zenye Magurudumu Maalumu | 1 |