BANDARI YA DAR ES SALAAM IMEPOKEA MELI YENYE WATALII 516 ‘THE CRYSTAL...
05 Januari 2026
Bandari ya Dar es Salaam, terehe 2 Januari 2026 imepokea meli ya kitalii inayoitwa The Crystal Symphony ikiwa na watalii 516 ambao wametembelea vivutio mbalimbali hapa nchini.
Wakala wa Meli hiyo Bw. Gilbert Nikata, amesema meli...
Soma Zaidi