Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, akiwasili Bungeni jijini Dodoma leo Mei 13, 2026, kwa ajili ya uwasilishaji wa bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 
wa fedha 2026/2027. Bajeti hiyo inatarajiwa kueleza vipaumbele vya sekta ya uchukuzi kwa mwaka ujao wa fedha 2026/27, ikilenga kuimarisha huduma na miradi mbalimbali ya usafiri na usafirishaji